Burundi : Uchaguzi wafanyika wakati mlipuko wa corona ukiendelea

Fuente: https://www.voaswahili.com/a/burundi-uchaguzi-wafanyika-wakati-mlipuko-wa-corona-ukiendelea/5427701.html

Burundi : Uchaguzi wafanyika wakati mlipuko wa corona ukiendelea

Burundi: las elecciones se llevan a cabo mientras la explosión de la corona está en marcha

Zaidi ya watu milioni tano ambao wanastahili kupiga kura katika nchi ya Afrika Mashariki ya Burundi wanapiga kura Jumatano kumchagua mrithi wa Rais wa muda mrefu Pierre Nkurunziza, vimeeleza vyanzo mbalimbali vya habari. Nkurunziza anaachia madaraka baada ya kuongoza kwa miaka 15, miaka mitano ya mwisho iliyokuwa na machafuko baada ya kuendelea na muhula wa tatu uliopata upinzani na kusababisha zaidi ya raia 300,000 kukimbia machafuko katika nchi hiyo maskini.

Más de cinco millones de votantes en el país de África Oriental de Burundi votarán el miércoles para elegir al sucesor del presidente de largo mandato, Pierre Nkurunziza, han citado varias fuentes de información. Nkurunziza cesa en sus obligaciones después de 15 años de liderazgo, los últimos cinco, años de caos tras continuar el tercer período de oposición y causar que más de 300,000 civiles huyan del caos de ese pobre país.

watu ambao wanastahili: "personas que merecen, o que tienen derecho", aquí se traduce como "con derecho a voto = votantes". wanapiga es aquí presente periodístico, aunque se refiere al futuro. kumchagua es un infinitivo con infijo de objeto de 3ª persona. "Para elegir a quien se nombre a continuación". muda es "tiempo, periodo", aquí "mandato" viene al pelo de la traducción.

Uchunguzi wa Umoja wa Mataifa, UN, unaonyesha kuwa mamia ya watu waliouawa wakati wa machafuko hayo walilengwa na vikosi vya serikali, tuhuma ambazo Burundi imezikanusha. Wagombea saba wako katika kinyang’anyiro hicho cha kumrithi Nkurunziza, akiwemo Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye, mrithi aliyechaguliwa na rais, na mkuu wa upinzani Agathon Rwasa.

Un estudio de la Organización de las Naciones Unidas, la ONU, muestra que cientos de personas asesinadas durante aquellos disturbios fueron blanco de las fuerzas gubernamentales, alegaciones que Burundi ha negado. Siete candidatos están en la carrera por suceder a Nkurunziza, incluido el general retirado Evariste Ndayishimiye, el candidato electo presidencial y el jefe de oposición Agathon Rwasa.

waliouawa: forma participial de kuua: matar= "fueron asesinados". walilengwa: fueron perseguidos, feuron blanco de... vikosi vya serikali = fuerzas gubernamentales, expresión típicamente periodística. aliyechaguliwa: forma participial de kuchagua: elegir; es decir: elegido.

Kura inayopigwa Jumatano inafanyika wakati kuna mlipuko wa virusi vipya vya corona nchini Burundi, ambapo hadi sasa maambukizi 42 yamethibitishwa na kifo kimoja katika nchi yenye takriban watu milioni 11. Uongozi wa Burundi kwa kiasi kikubwa umepuuza hatari za virusi vya corona, na kuruhusu mikutano mikubwa ya kisiasa kufanyika hadi kufikia siku ya kupiga kura na kutoweka masharti yoyote juu ya mizunguko ya watu.

La votación del miércoles tiene lugar a raíz de un nuevo brote de virus corona en Burundi, donde hasta el momento 42 infecciones han sido confirmadas por una sola muerte en un país de aproximadamente 11 millones de personas. La jefatura de Burundi ha ignorado en gran medida permitiendo grandes manifestaciones políticas hasta el día de la votación y excluyendo cualquier restricción en los movimientos de las personas.

inayopigwa: participio no habitual (hubiera sido más común iliyopigwa), formado en presente, que traducimos por "celebrada", "ocurrida". kifo kimoja: una sola muerte. kwa kiasi kikubwa: "en gran medida". kutoweka es forma negativa de kuweka: "poner, instaurar"; significa por tanto "excluir, quitar".

Mkuu wa Shirika la Afya, WHO, nchini Burundi alifukuzwa wiki iliyopita baada ya kueleza wasiwasi wake juu ya uelewa wa serikali unavyokinzana na hatari inayoletwa na virusi vya corona. Hakuna waangalizi wa kimataifa wa uchaguzi walioruhusiwa nchini Burundi kufuatilia upigaji kura baada ya serikali kusema mtu yoyote mgeni anayeingia nchini ataweka karantini kwa siku 14.

El jefe de la Organización de la Salud, OMS, en Burundi fue expulsado la semana pasada después de expresar su preocupación por la comprensión del gobierno de los riesgos y riesgos que conlleva el coronavirus. No se permitió a observadores electorales internacionales en Burundi supervisar la votación después de que el gobierno dijera que a cualquier extranjero que ingrese al país se le impondría una cuarentena de 14 días.

juu: esta preposición además del significado locativo de "encima", significa, como en castellano, "sobre", en el sentido "de acerca de". inayoletwa: que conlleva. walioruhusiwa es forma participial que significa permitidos.

VOCABULARIO

mlipuko (3/4): explosión

kura (9/10): votación

Upiagi kura: proceso electoral

KUPIGA KURA: VOTAR

KUSTAHILI: tener derecho, merecer

mrithi, warithi (1/2): sucesor, heredero

chanzo, vyanzo (7/8): fuente, origen

daraka, madaraka (5/6): obligación

muhula, mihula (3/4): era, época

machafuko (6): caos, tragedia, desastre

upinzani (14): oposición

KUSABABISHA: CAUSAR, OCASIONAR

uchunguzi (11/10): estudio, investigación

KUCHUNGUZA: investigar

kikosi, vikosi (7/8): tropas, efectivos militares

kulengwa: ser perseguido, ser blanco de alquien

kulenga: perseguir

tuhuma (9/10): acusación, imputación

kukana: negar

kukanusha: negar

mgombea, wagombea (1/2): candidato

kinyang’anyiro (7/8): competición, liga

kumrithi: suceder

mstaafu (adj): retirado

maafuru, waafuru (1/2): jubilado

upinzani (14): oposición

mlipuko (9/10): explosión, rebrote

KUTHIBITISHA: PROBAR, DEMOSTRAR; CONFIRMAR

kifo, vifo (7/8): muerte

uongozi (14): jefatura, liderazgo

KUPUUZA: IGNORAR

sharti, masharti (5/6): regla, condición

mzunguko, mizunguko (3/4): movimiento, circulación

shirika (9/10): organización

KUFUKUA: EXPULSAR

mwaangalizi, waangalizi (1/2): observador

kimataifa (7/8): internacional

kufuatilia: supervisar