LECCIÓN 34
PREPOSICIONES
kabla ya [antes]
baada ya [después]
nje ya [fuera de]
ndani ya [adentro; en]
juu ya [encima de; acerca de]
chini ya [debajo; abajo]
baina ya [entre]
kati ya [entre; en el medio de; entre]
mbele ya [delante de]
nyuma ya [detrás]
karibu na [cerca; cerca]
mbali na [lejos de; lejos]
kando ya [al lado; a lo largo]
mpaka; hadi [hasta]
kisha [entonces; y entonces]
tangu toka [de; ya que]
katika [en; dentro; en]
miongoni mwa [entre]
toka kutoka [desde]
katikati ya [entre]
usoni pa [en la cara de; en frente de ]
ukingoni mwa [en el borde / banco de]
mvunguni mwa [debajo; debajo]
pembeni mwa [en la esquina de]
ubavuni pa [al lado de; junto a]
machoni pa [enfrente de, cerca de]
kisogoni pa [detrás, detrás]
VOCABULARIO
maktaba (9/10): librería
mkahawa (3/4) cafetería, restaurante
friji (9/10): nevera
darasa, madarasa (5/6): aula escolar
kochi (9/10): sillón
Ua, maua (5/6) : patio (entre muchas otras cosas, como flor)
pwani (9/10): costa
Ziwa, maziwa (5/6): lago
peremende: menta, pipermint
Mzee, wazee: personas mayores, ancianos
Mvuvi, wavuvi: pescador
KUSTAREHE: estar de modo confortable, descansar
KUHISHI: VIVIR
FRASES Y EJEMPLOS
1. kabla ya [antes].
Nitaenda maktabani kabla ya kuenda mkahawani. Iré a la biblioteca antes de ir al restaurante.
Kabla ya kuimba nitakunywa chai. Antes de cantar, tomaré té.
2. baada ya [después].
Baada ya darasa nitasoma. Después de clase voy a estudiar.
Mimi hustarehe baada ya kusafiri. Descanso después de viajar.
3. nje ya [fuera de]
Niko nje ya nyumba. Estoy fuera de la casa.
Ninapenda kula nje ya mkahawa. Me gusta comer fuera del restaurante.
4. ndani ya [adentro; en].
Chakula kiko ndani ya friji. La comida está en la nevera.
Mimi huandika sana ndani ya darasa la Kiswahili. Escribo mucho en la clase de Swahili.
5. juu ya [encima de; acerca de].
Unasema juu ya nini? ¿De qué estás hablando?
Miti ilianguka juu ya nyumba. Los árboles cayeron sobre las casas.
6. chini ya [debajo; abajo]
Viatu vyangu viko chini ya koti langu. Mis zapatos están debajo de mi abrigo
Ninapenda kulala chini ya miti. Me gusta dormir debajo de los árboles.
7. baina ya [entre; entre]
Ninasoma kitabu baina ya Jake na Bill. Estoy leyendo un libro entre Jake y Bill.
Baina ya madarasa mimi husoma sana. Entre clases estudio mucho.
8. kati ya [entre; en el medio de; entre]
Peter anakaa kati ya Mike na John. Peter está sentado entre Mike y John.
Mimi hukunywa bia kati ya Ijumaa na Jumapili. Bebo cerveza entre viernes y domingo.
9. mbele ya [delante de]
Mwalimu ako mbele ya wanafunzi. El profesor está delante de los alumnos.
Vitabu vipo mbele ya dirisha. Los libros están frente a la ventana.
10. nyuma ya [detrás]
Ua uko nyuma ya nyumba. El patio está detrás de la casa.
Paka analala nyuma ya kochi. El gato está durmiendo detrás del sofá
11. karibu na [cerca; cerca]
Ninaishi karibu na McDonald’s. Vivo cerca de McDonald’s.
Nitakula karibu na rafiki zangu. Comeré cerca de mis amigos.
12. mbali na [lejos de; lejos]
Nitasafiri mbali na Amerika. Viajaré lejos de América.
Nyumba yako iko mbali na pwani. Tu casa está lejos de la costa.
13. kando ya [al lado; a lo largo]
Samantha alilala kando ya mbwa. Samantha dormía al lado del perro.
Mti uko kando ya ziwa. El árbol está a lo largo del lago.
14. mpaka; hadi [hasta; hasta]
Nitasoma kutoka saa nne hadi saa tano asubuhi. Estudiaré de 10 a.m. a 11 a.m.
Nilikimbia tangu saa nane hadi saa tisa mchana nilikimbia. Corrí de 2pm a 3pm.
15. kisha [entonces; y luego]
Ninaenda sokoni kisha nitarudi nyumbani. Voy al mercado y luego volveré a casa.
Nilikimbia kisha nilioga bafuni. Corrí y luego me duché
16. tangu; toka [de; ya que]
Nilisoma Kiswahili tangu saa mbili hadi saa tano asubuhi. Estudié Kiswahili desde las 8 hasta las 11 de la mañana.
Yeye atakaa hotelini toka Jumanne mpaka Ijumaa. Se quedará en el hotel de martes a viernes.
17. katika [en; dentro; en]
Tunazungumza katika Kiswahili. Estamos hablando en kiswahili.
Ninakaa Katika Nyumba Hola. Vivo en esta casa
18. miongoni mwa [entre]
Anakaa miongoni mwa watoto wengi. Él / Ella está sentado entre muchos niños.
Mtoto anaimba minogoni mwa wazee. El niño está cantando entre los ancianos.
19. toka; kutoka [de]
Yeye Anatoka Kenia. Viene de Kenia.
Alichukua peremende kutoka kwa mtoto. Tomó los dulces del niño.
20. katikati ya [en el medio]
Ninaishi Katikati ya Lawrence na Wichita. Vivo entre Lawrence y Wichita.
Kuna Watoto Katikati ya Wazee. Hay niños entre las personas mayores.
21. usoni pa [frente a; en frente de ]
Anaishi usoni pa duka. Él / Ella vive en frente de la tienda.
Amesimama usoni pa baba. Él / Ella está de pie delante del padre.
22. ukingoni mwa [en el borde / banco de]
Kuna wavuvi ukingoni mwa ziwa. Hay pescadores en la orilla / orilla del lago.
Tunaishi ukingoni mwa mto. Vivimos en la orilla / orilla del río.
23. mvunguni mwa [debajo; debajo]
Kuna chakula mvunguni mwa kitanda. Hay comida debajo de la cama.
Kuna kitabu mvunguni mwa kitanda. Hay un libro debajo de la cama.
24. pembeni mwa [en la esquina de]
Ameweka vitabu pembeni mwa darasa. Ella puso libros en la esquina de la clase.
Anakaa pembeni mwa darasa. Él / Ella está sentado en la esquina de la clase.
25. ubavuni pa [al lado de; junto a]
Mtoto amekaa ubavuni pa mama. El niño está sentado al lado de la madre.
Nilikaa ubavuni pa Padre kanisani. Me senté al lado / al lado del sacerdote en la iglesia.
26. machoni pa [delante / cerca]
mwalimu anasimama machoni pa wanafunzi. La maestra está parada frente a los estudiantes.
Televisheni iko machoni pa sebule. La televisión está en el frente de la sala de estar / sala de estar.
27. kisogoni pa [detrás, detrás]
Wanafunzi wanaishi kisongoni pa duka. Los estudiantes viven detrás de la tienda.
Nimeweka gari langu kisogoni pa nyumba. Puse mi auto detrás / detrás de la casa.