Nimefika Zimbabwe tarehe 7 Mei, 2019 kuwatembelea wanovisi. Nilipokelewa na Padre Alexio. Baada ya kufika ndani nilikuta wanovisi wakiwa katika sala. Katika jumuiya hii wapo mapadre watano na wanovisi 4. Watanzania watatu na Mzimbabwe mmoja. Mwaka huu ni wa mwisho kabla ya kuweka nadhiri.
Hii ni shule ya sekondari inayosimamiwa na Wakarmeli
Shule hii ilianzishwa mwaka
Kanisa la Christe Mambo, ambapo sherehe za nadhiri hufanyika.