Post date: May 29, 2017 5:46:52 AM
Naitwa Felix Malimi, mzaliwa wa Jimbo Katoliki la Kahama Parokia ya Ekaristi Takatifu Kabuhima. Nilizaliwa tarehe 5/09/1992, nikiwa mtoto wa tatu katika familia yetu yenye watoto sita , wavulana tukiwa watatu na wasichana watatu.