Mkutano huu ni wa kila baada ya miaka sita
Mkutano huu ni wa kila baada ya miaka sita
Mkuu wa Shirika Mpya Míċeál O’Neill akisalimiana na Mkuu wa Shirika aliyemaliza muda wake padre Fernando Millán Romeral .
Padre Benny Phang Khong Wing, makamu wa Mkuu wa Shirika
Wajumbe wa mkutano wakiwa kwenye misa ya ufunguzi.
Leo 17.09.2019 umefanyika uchaguzi wa kumchagua Mkuu wa Shirika la Wakarmeli, O.Carm, hapa Sassone Italia. Aliyechaguliwa ni Padre Míċeál O’Neill mzaliwa wa Ireland, aliyekuwa Mkuu wa Nyumba ya CISA, Roma Italia. Makamu wake ni Padre Benny Phang Khong Wing, mzaliwa wa Indonesia, aliyekuwa Mshauri wa Mkuu wa Shirika kwa upande wa Asia-Ocean.
Mapadre wakiwa katika Misa Takatifu ya ufunguzi. Misa imeongozwa na Fr. Fernando Millán Romeral .
We have learned that we speak to one another. Lectio Divina, what is inside, it is seen outside, the willing to build the community. His own experience, the New Prior General.
1. Rule. Encounter with God. God has changed your life and our life. We are not in touch with them. Attention to other people, we work with people, we work for them. People come to us because they love prayer.
Prayer
Community
Love of Mary
Love us as we serve.
People needs something always.
Vocational directors should know how to work with the community. The community should know how to attract vocations. Evaluation. Invite others to join us. Those people who the Holy Spirit is calling. We have rediscovered our rule in the recent years. We have new insight.
We rejoice always in what we have received. What is to come.
Sacramental nature of the community meeting. This is very important.
Correction-brotherly correction, it mus come to the reality. There should be respect, it is not judging one another, but coming together in making things better.
Celebration. There should be celebrations. Encounter with God, see in ourselves as the part of salvation, resurrection of life. Let us be sensible need of the mercy of God, active, be participant, the event of Mystery, we are celebrating. Conscious to our study of Liturgy.
Consiliarius pro Ambitu Africae: A.R.P. Conrad Mutizamhepo, O.Carm.
Consiliarius pro Ambitu Americarum: A.R.P. Luis Maza Subero, O.Carm.
Consiliarius pro Ambitu
Asiae, Australiae et Oceaniae: A.R.P. Robert Thomas Puthussery, O.Carm.
Consiliarius pro Ambitu Europae: A.R.P. Richard Byrne, O.Carm.
Let us develop, community, service and prayer.