Akizungumza mbele ya umati katika mkutano wake wa kampeni mjini hapa jana, Magufuli alisema sifa mojawapo kubwa ya mtu atakayemteua katika baraza lake la mawaziri ni kutokuwa bingwa wa kutoa visingizio vya hapa na pale katika kuhalalisha ucheleweshaji wa huduma kwa wananchi.

Alisema sifa ya nne kwa waziri atayekuwamo katika serikali yake ni kujali muda katika kushughulikia kero za wananchi; kwamba kila tatizo likifikishwa kwake alishughulikie kwa wakati na si kinyume chake.


Wananchi Oooo Mp3 Download


Download File 🔥 https://shurll.com/2y7MXL 🔥



Katika sifa ya tano, Magufuli alisema kila waziri atakayemteua ni lazima aonyeshe wazi kuwa anayo dhamira ya dhati ya kuwatumikia Watanzania na mara zote atafanya kazi kwa kujua kuwa kipaumbele kikubwa ni kuwatumikia wananchi waliowachagua.

Magufuli alitaja sifa ya sita muhimu zaidi kwa mawaziri wake ni uadilifu na wasiotiliwa shaka na wananchi watakaokuwa wakiwatumikia, huku wakijua kuwa wengi wao (wananchi) ni watu maskini wanaohitaji huduma zote muhimu za kijamii ili kujikwamua kiuchumi.

Akihutubia katika Jimbo la Mkinga, Dk. Magufuli alisema akichaguliwa na kuingia Ikulu, ataboresha zaidi maslahi ya watumishi wa umma, hasa walimu na madaktari, ili waweze kutoa huduma bora kwa wananchi.

Polisi mkoani Geita imefanikiwa kuokoa baa moja maarufu iliyopo mkoani humu (jina limehifadhiwa) isiteketezwe na moto na wananchi wenye hasira waliokuwa wakidai inahusika na matukio ya vifo vya kutatanisha vya walinzi watatu waliofariki dunia kwa nyakati tofauti.

Maalim akihutubia umati wa wananchi katika mkutano huo ambao pia ulihudhuriwa na mgombea wa Ukawa wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa, alisema wakishinda wataunda serikali ya muundo wa serikali tatu kama ilivyopendekezwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Mstaafu, Joseph Warioba.

Mgombea ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Jimbo la Bunda Mjini, Ester Bulaya, amesema amemwokoa mtoto wa Waziri wa Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, aliyetaka kuchomwa moto ndani ya nyumba na wananchi kwa madai ya kugawa rushwa.

Alisema Kambarage akiwa na baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wengine, wakiwamo watumishi wa Serikali, walifungiwa ndani ya nyumba na wananchi na kutaka kuwachoma moto baada ya kugundua kwamba walitaka kuwapa baadhi ya vijana rushwa ili wafanye fojo kwenye mkutano wake.

Jana (juzi), mtoto wa Wasira na wenzake nimewaokoa wakitaka kuchomewa moto ndani na wananchi ambao walipata taarifa zao za kukutana ili wawape watu rushwa waje kufanya fujo kwenye mkutano wangu ninaopanga kuufanya Bukore.

Dk Magufuli amekuwa akitumia sehemu kubwa ya mikutano yake kuwasihi wananchi kutowachagua wanasiasa wenye tamaa ya madaraka ambao mipango yao ya haraka haraka inaweza kuchochea kuvuruga amani nchini. Alisema anapenda kuiongoza nchi yenye utulivu na amani ambayo wananchi wake hawagawanyishwi kwa dini, kabila au vyama.

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, amesema baadhi ya Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa kutokana na watendaji wake kuendekeza vitendo hivyo na kuwakosesha haki wananchi. Jaji Chande alitoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Mahakama mjini hapa jana.

As ugly as this man is, he sure can spin ugly lies to blind-side Kenyans over salary Kenyans pay him. He is the worst of all the looters of our coffers, even worse than DP Ruto! He is playing poverty monkey games because he thinks wananchi are stupid!

An ex-diaspora, an embarrassment to many. Just like Midiwo, the on-warrant former Washington DC resident, a former truck driver earning a paltry 30cts per mile, Wakenya ni wale wale tu. Given that govt job, you show out how almost all Kenyans are: thieves. I never said it, even former Zimbabwe president Robert Mugabe could smell thief in us thousands of miles away. And something else, Kenyans are the most dishonest people, apart from Nigerians, that I have ever known. Just cough out that you want to buy anything to any Kenyan including your own father, brother, sister, cousin, uncle, aunt, friend, neighbor... oooo man, you just activated an unknown broker. Just look kina Raila and other Uhurus sychophants in their eyes. Hio ndio maendeleo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.

Rais mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Mwanasheria Mkuu wa Baraza la Mazingira la Taifa NEMC, Vincent Haule amesema wananchi wenye mifuko ya plastiki wanatakiwa kuwasilisha mifuko yao kwenye ofisi za Serikali za mtaa ili kuhakikisha bidhaa hiyo inaondoka mtaani.

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amemteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Chama Cha wananchi (CUF) Julius Mtatiro, ambaye alitangaza kuhamia CCM kutokana na chama chake cha CUF kukabiliwa na migogoro ya kiuongozi. 006ab0faaa

gaomon drawing tablet download

download shark attack game

main cpp file download

download u thought i was feeling you

dey avoid see finish make i dey my own lyrics mp3 download