@newbabyintheworld - "Hivi we director wa huba hawa wanaume wazuri huwa unawatoagi wapi??Yaani Huba ina wanaume wazuri balaaaa....Kuanzia Davy,Yakubu,Loi,JB,na huyu mwingine hapa ndo balaaaaa"
Kusema kweli, kuanzishwa kwa chaneli ya maisha magic bongo kumeokoa vipaji vingi sana hapa Tanzania. Baada ya chaneli hii kuanzishwa, wengi wamepata ajira na kusema kweli inaleta burudani ya Hali ya juu kwa sinema nzuri kama vile Huba, sakafu, mizani ya ushambenga, harusi yetu na zinginezo.
Huba Bongo Movie Download
Download File 🔥 https://fancli.com/2y2Qqx 🔥
Ukilinganisha na chaneli zingine, maisha magic bongo Ina ubora wa Hali ya juu kwani picha yake na sauti zipo kiwango cha juu sana. Maisha magic bongo Ina watazamaji wengi sana nchini tanzania na nje ya nchi..
Tamthilia ya huba maisha magic iliaachiliwa mwaka wa 2017. Ikilinganishwa na tamthilia zingine, huba ndio tamthilia ambayo imedumu sana kwa Tv kwa miaka mingi na maaruufu sana kwani iko na watazamaji wengi mpaka wa nchi jirani Kenya. ff782bc1db