Get lyrics of Download roho yaumia i am missing my baby song you love. List contains Download roho yaumia i am missing my baby song lyrics of older one songs and hot new releases. Get known every word of your favorite song or start your own karaoke party tonight :-).

UTANGULIZI Ushairi ni utanzu wa fasihi unaotumia muundo maalum na mapangilio teule wa maneno ili kuwasilisha kusudi la mtunzi kwa msomaji na msikilizaji. Ushairi unaweza kuwa utanzu wa fasihi simulizi na pia fasihi andishi kwa sababu mashairi yanaweza kuwasilishwa kwa njia ya kuimba, kukariri, kughani, kuandikwa. Sifa kuu ambayo hutofautisha ushairi simulizi na ushairi ulioandikwa ni utendaji.


Amani Roho Yaumia Mp3 Download


DOWNLOAD 🔥 https://urlca.com/2yGAnA 🔥



Chimbuko la ushairi wa Kiswahili Chimbuko au asili ya ushairi wa Kiswahili ni swala telezi mno. Utelezi wa swala hilo linatokana na ukweli kwamba kuna nadharia mbalimbali zinazoelezea chimbuko hilo. Nadharia mbili kuu kati ya hizo, zimeshika mizizi zaidi:

Ushairi wa Kiswahili kuanza kipindi cha Waarabu. Ushairi wa Kiswahili kutumia maneno ya Kiarabu. Ushairi wa Kiswahili kuandikwa katika hati za Kiarabu. Ushairi wa Kiswahili kubeba maudhui ya Kiarabu. Ushairi wa Kiswahili kutungwa sana na Waislamu. Ushairi wa Kiswahili kutumia kanuni za ushairi wa Kiarabu. Ushairi wa Kiswahili kuamini Uislamu.

Upungufu wa nadharia hii inatokana na ukweli kwamba ushairi simulizi umekuwapo miongoni mwa wakazi wa upwa wa Afrika Mashariki na Bara kwa muda mrefu sana, hata kabla ya ujio wa Waarabu. Tunakubali tu kwamba huenda ni kweli kwamba ushairi andishi uliibuka baada ya Waarabu kuja, kuhubiri dini ya Kiislamu na kuwafunza Waswahili hati za maandishi. Baada ya kujifunza hati hizo ndipo walipoutia ushairi simulizi uliokuwapo tangu enzi, katika maandishi na kuibua kinachojulikana leo kama Ushairi wa Kiswahili. Hivyo basi, dai kwamba ushairi wa Kiswahili unatokana na Uislamu na Fasihi ya Kiarabu, linakosa mashiko.

(b) Chimbuko la Ushairi wa Kiswahili ni Ushairi Simulizi wa Kibantu Nadharia hii inadai kuwa ushairi wa Kiswahili unatokana na ushairi simulizi wa Kibantu, hasa nyimbo na ngoma. Nadharia hii inabainika katika maandiko mengi ya wanamapokeo ambao walidai kwamba ushairi ni wimbo. Kwa maneno mengine, walikuwa wanaibua dai kwamba chanzo cha ushairi wa Kiswahili ni nyimbo simulizi zilizokuwapo tangu zama miongoni mwa jamii za Kiswahili. Jamii hizo zinajumuisha watu wa makabila

mbalimbali. Nyimbo za makabila hayo ndizo hatimaye zilizokuja kuvyaza ushairi wa Kiswahili. Nyimbo hizo zilikuwa zikiimbwa katika shughuli mbalimbali kama vile wakati wa kufanya kazi (hodiya), katika sherehe za harusi, katika jando na unyago (nyiso), kubembeleza watoto (bembea/bembelezi), kuomboleza (mbolezi) na kadhalika.

Malengo ya ushairi (a) Kuongoa na kuburudisha. Nyimbo kama bembelezi (bembea) hutumiwa kuwaongoa watoto na kuwabembeleza walale. (b) Kueneza na kukuza urembo wa lugha husika. (c) Kuelimisha, kukosoa na kurekebisha jamii. (d) Kutoa maoni kuhusu matukio fulani ya kijamii. (e) Kukejeli au kukemea mambo yanayoenda kinyume na maadili ya jamii. (f) Kuhifadhi na kuendeleza utamaduni wa jamii husika. (g) Kuweka kumbukumbu.Yaweza kuhifadhi kumbukumbu za matukio ya kihistoria kwa mfano: vita,vitendo vya watu mashuhuri, vita.

Sifa za ushairi Ushairi ni mojawapo wa tanzu za fasihi. Kama tanzu nyingine za fasihi, ushairi una upekee wake. Upekee huu hujidhihirisha pale mshairi anafinyanga lugha au kuboronga sarufi ili aweze kuelezea ujumbe wake. Ushairi kwa ujumla ina sifa zifuatazo:

Huwa na mpangilio maalumu kuanzia beti, mizani, mishororo, maneno. Huelezea mambo yanayohusiana na imani za watu katika jamii mbalimbali. Ushairi hutumia lugha teule ya mkato (kujibana). Hutumia maneno na tamathali nyingi za usemi ambazo huibua picha au taswira. Ushairi ni sanaa; ni kazi iliyobuniwa kwa ufundi mkubwa. Huamsha hisia na kugusa moyo wa msomaji au msikilizaji. Hukiuka kanuni za kisarufi.

Madai ya wanamapokeo na wanamapinduzi kuhusu ushairi wa Kiswahili Dai la msingi la wanamapokeo (wanajadi) ni kuwa urari wa vina na mizani ni roho na uti wa mgongo wa shairi la Kiswahili. Wengi wa wanamapokeo hawakiri kuwa kinachotungwa na wanamapinduzi ni mashairi. Wanauchukulia ushairi wa kisasa kuwa si ushairi bali ni insha au nathari tu. Kwa upande wa wale wachache wanaokiri kuwa ni ushairi, wanauona kuwa ni ushairi usio bora na ushairi wa kigeni.Wanauchukulia kuwa ni ushairi uliotokana na kuiga ushairi wa Kiingereza. Aidha, wanawachukulia wanamapinduzi (wanausasa/ wanamamboleo) kuwa ni watu walioshindwa kutunga mashairi ilhali wanatamani kuwa watunzi wa mashairi. Matokeo yake ni kutunga vitu visivyokuwa mashairi na kudai kuwa ni mashairi ya kisasa, jambo ambalo wao wanamapokeo hawalikubali. Wanazuoni wanaounga mkono chapuo mkabala huu ni pamoja na Said Karama, Jumanne Mayoka, S.Kandoro, Amiri A. Sudi, Haji Gora, Ahmad Nassir, Abdilatif Abdalla, Shihabuddin Chiraghdin, Mathias Mnyampala, Shaaban bin Robert, Amri Abedi, Amiri A.S. Andanenga, Wallah bin Wallah.

Maumbo: Kimaumbo, yote hujigawa katika beti, mishororo, vipande na mizani. Hutumia lugha ya mvuto, ya kimafumbo, ya kishairi, tamathali za usemi. Hutumia uhuru wa kishairi kama inkisari, mazida, tabdila, kufinyanga au

(c) Kigezo cha maudhui yabebwayo na shairi: Kigezo hiki kinazingatia nyanja ya maisha iliyoangaziwa na shairi husika. Shairi huweza kubeba maudhui ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kitamaduni. Hata hivyo, kigezo hiki ni telezi mno kwani upo uwezekano wa kuwa na shairi ambalo linasawiri nyanja zaidi ya moja ya maisha. Kwa mfano, shairi laweza kusawiri masuala ya kisiasa lakini wakati huo huo likigusia mambo mbalimbali ya kijamii na kadhalika. (d) Kigezo cha idadi ya mishororo: Uainishaji huu huyagawa mashairi katika makundi kulingana na idadi ya mishororo katika kila ubeti wa shairi husika. Shairi huweza kuwa na mshororo mmoja tu katika kila ubeti hadi mishororo kumi (na yana majina maalumu: tathmina, tathnia/uwili, tathlitha/utatu/wimbo, tarbia/unne/shairi, takhmisa/utano, tasdisa/tashilita/usita, tasadia/usaba, naudia/unane/, telemania/utisa na ukumi.) na kuendelea. (e) Kigezo cha mbinu za kisanaa zilizotumika: Mbinu za kisanaa zinazozungumziwa hapa ni vina na mizani, miongoni mwa nyinginezo. Shairi linaweza kutungwa kwa kuzingatia urari wa vina na mizani au lisizingatie kanuni hiyo. Mashairi yanayozingatia kanuni hiyo huitwa ya kimapokeoau kijadi na yasiyozingatia huitwa ya kisasa. Hivyo kwa kutumia kigezo hiki tunapata aina mbili kuu za ushairi: wa kimapokeo na wa kisasa. (f) Kigezo cha bahari: Kwa muda mrefu sasa kigezo cha bahari kimetumika kuainisha mashairi ya kimapokeo. Hii inatokana na ukweli kwamba waandishi wengi wa awli walizingatia kwamba kigezo hiki cha uainishaji wa mashairi kwa kutumia bahari

Muundo maalum wa utunzi unasababishwa na arudhi/ kanuni/ sheria zinazoambatanishwa na ushairi. Kanuni hizi ikiwa hazieleweki vizuri kwa msomaji tangu mwanzo, humfanya msomaji au msikilizaji kuamini kuwa ushairi ni mgumu. Miongoni mwa kanuni hizo ni pamoja na:

(i) Ubeti (wingi: beti ) Ubeti ni kifungu chenye idadi fulani ya mishororo. Kishairi, inakusudiwa kuwa kila ubeti una maudhui au ujumbe tofauti na ubeti mwingine. Kimaendeleo ni kuwa ubeti- tangulizi una uhusiano wa kimantiki na ubeti unaofuata. Beti zote katika shairi zinabainisha shabaha (dhamira) ya mwandishi wa shairi. Tena, beti huonyesha urefu wa shairi. Mfano wa ubeti:

Kama wanipenda sana, wangu wamtakiani? Naepuka kupitana, nakusihi kwa hisani, Sitaki la kupishana, kama hilo samahani, Penzi watu kupendana, twaingiliana nini? Wanipendani kidada, mke wangu nakukanya.

(ii) Mshororo (wingi: mishororo) Mshororo ni msitari mmoja wa maneno yenye maana fulani katika shairi. Wingi wa mshororo ni mishororo.Urefu wa kila mshororo hutegemea aina ya shairi. Mishororo huhesabiwa kwa kurejelea kila ubeti, na wala si beti zote kwa jumla. Mshororo huwa na sehemu inayochangia katika kufafanua na kuyafanya maudhui kueleweka kwa uwazi zaidi. Mfano Maana Kwanza pulikani, lulu twaipata Kwanza fahamuni kuwa tunapata lulu Samaki yakini, faida hulata Ukweli ni kuwa samaki huleta faida Aida wendani, pia huokota Zaidi ni kuwa marafiki huokota

(d) Kituo - Ni mshororo wa mwisho katika kila ubeti. Ikiwa msitari wa mwisho wa ubeti unarudiwarudiwa katika kila ubeti katika shairi husika huitwa kibwagizo/ kiitikio/ mkarara. Kibwagizo hubeba dhamira ya shairi. Ikiwa msitari wa mwisho haurudiwirudiwi, yaani unabadilikabadilika kutoka ubeti hadi ubeti huitwa- kimalizio au kiishio.

(iii) Kipande ( wingi: vipande) Kipande ni sehemu ya mshororo mzima au ni mgao wa mstari katika vijisehemu vingi. Kikawaida, kipande kimoja, hasa cha kwanza hudokeza wazo na cha pili au cha tatu hukamilisha wazo. Huonyeshwa kwa mkato.

Nimo ndani, na ujapo, wallahi sisitiriki, sisitiriki bandani, Kubaini, kama nipo, na katu hutaabiki, hutaabiki ndani, Na chooni, liko papo hapo, kaango la miswaki, miswaki chooni, Sebuleni, hapohapo, hukaribishi rafiki, rafiki wa sebuleni, Sisitiriki bandani, mkata, samaki, nimo demani.

(iv) Mizani Mizani ni kipimo cha urefu wa kila mshororo. Huzingatia silabi za maneno ambapo kila silabi huwa mizani moja; ni jumla ya silabi zilizomo katika mshororo au mishororo ya ubeti. Mizani ni mgawanyiko wa sauti zinazoweza kutamkika kwa kufuata muundo wa irabu moja pekee (I), konsonanti na irabu (KI), konsonanti mbili na irabu (KKI), konsonanti tatu na irabu (KKKI). Mizani huhesabiwa kwa kurejelea kila kipande na kujumuishwa katika mshororo. Mizani huandikwa kwa tarakimu na kwa kutumia mistari ya kutenganisha vipande na kujumuisha silabi zote katika

Kuonyesha ni kuwa, kila mshororo una mizani 8 kwa (8) kila kipande, jumla mizani ni kumi na sita (16) kwa mishororo miwili ya kwanza katika ubeti huu, lakini mshororo wa mwisho una mizani 8 katika kipande cha ukwapi na saba (7) katika kipande cha utao, jumla mizani (15) kumi na tano.

Ufafanuzi/ Maelezo: Kipande cha kwanza kina mishororo minane (8), sawa na ilivyo katika kipande cha pili. Jumla ya mizani katika mshororo huu ni kumi na sita (8, 8). Kimalizio kina kipande kimoja cha mizani minane (8). 152ee80cbc

pick up lines hindi app download

no strings attached movie download in hindi

epson l220 scanner driver download 64-bit