Makleri wawe wepesi kusoma alama za nyakati, tayari kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao. Watu wa Mungu, Jimbo kuu la Mombasa, waendelee kufurahia uwepo endelevu wa Makleri katika maisha na utume wao kwa kuwa mashuhuda na vyombo vya huruma na upendo wa Mungu kwa waja wake. Amewataka Mapadre wa Jimbo kuu la Mombasa kuwapokea Makleri vijana na kuwaingiza katika urika wao. Sherehe hii imehudhuria na umati mkubwa wa watu wa Mungu kutoka Jimbo kuu la Mombasa ambao walitumia fursa hii kufanya hija ya kiroho. Mwanadamu ni hujaji katika maisha na kwamba, hata huruma ya Mungu ni lengo ambalo waamini wanapaswa kulipatia kipaumbele cha pekee katika safari ya maisha yao ya kiroho hapa duniani. Mama Kanisa anawahimiza waamini na watu wote wenye mapenzi mema, kutambua umuhimu wa kufanya hija katika maeneo mbali mbali ya kihistoria, maisha na utume wa Kanisa.
Sms Za Mafumbo Ya Mapenzi Download